Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland anayehusika na Bara la Afrika, Mjini Warsaw nchini Poland, Mhe. Anna Radwan-Röhrenschef, ambapo wamejadiliana namna ya kuimarisha diplomasia ya uchumi kati ya nchi hizo mbili kupitia utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini Tanzania katika sekta za kilimo, ujenzi wa miundombinu ya Reli ya Kisasa ya SGR na kuangazia fursa nyingine ambazo Poland pamoja na sekta binafsi ya nchi hiyo wanaweza kuwekeza ikiwemo Sekta ya nishati, usafiri, maji, afya na mingine mingi.
Your Ad Spot
Monday, April 7, 2025
TANZANIA NA POLAND KUIMARISHA ZAIDI UHUSIANO WA KIUCHUMI
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland anayehusika na Bara la Afrika, Mjini Warsaw nchini Poland, Mhe. Anna Radwan-Röhrenschef, ambapo wamejadiliana namna ya kuimarisha diplomasia ya uchumi kati ya nchi hizo mbili kupitia utekelezaji wa miradi ya kimkakati inayotekelezwa nchini Tanzania katika sekta za kilimo, ujenzi wa miundombinu ya Reli ya Kisasa ya SGR na kuangazia fursa nyingine ambazo Poland pamoja na sekta binafsi ya nchi hiyo wanaweza kuwekeza ikiwemo Sekta ya nishati, usafiri, maji, afya na mingine mingi.
Tags
FEATURED#
SIASA#
Share This
About CCM Blog
SIASA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment